Soma mfano huu wenye mafundisho
Bill Gates aliandaa usahili mkubwa kwaajili ya kumpata meneja mpya Wakatokea watahiniwa 5000 na wakawekwa kwenye ukumbi mmoja 🔴 Mmoja wa watahiniwa hao ni Onyango, Mkenya anayeishi Marekani 🔴 Bill Gates akawashukuru watu wote waliojitokeza, na akasema "Kama kuna mtu hajui programu ya Java tafadhali aondoke" 🔴 Watu 2000 wakaondoka 🔴 Onyango akawaza "Ni kweli sijui Java lakini nikibakia nitakuwa nimepoteza nini, Ngoja nitajaribu," 🔴 Bill Gates akasema kama kuna mtu hana uzoefu wa kuongoza watu zaidi ya 100 tafadhali ondoka 🔴 Watu 2000 wakaondoka 🔴 Onyango akawaza "ni kweli sijawahi kuwa kiongozi hata wa mtu mmoja, zaidi ya kujiongoza mwenye lakini nikiendelea kubakia nitakosa nini, je nini kitanitokea Akabakia tena 🔴 Bill Gates akasema" Kama unajijua elimu yako hata Diploma ya utawala huna tafadhali ondoka" 🔴 Watu 500 wakaondoka 🔴 Onyango akawaza tena "Elimu yangu ni darasa la saba, lakini nikiendelea kubakia ...